Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inasajili wabunifu wote ili kuwatambua, na kuwapa tuzo,na kushirikiana na wadau katika kuwakuza na kuwaendeleza.
Wabunifu 10 kutoka kila ngazi watapata fursa ya kushiriki maonyesho yatakayofanyika kitaifa jijini Dodoma.
P.O. Box 4302,
Dar es Salaam, Tanzania
makisatu@costech.or.tz
+255 (022) 277-1358